Nakuhitaji

By Erick Smith

Lyrics

In You I have found Joy 

In You there is peace 

Which has never been found before 

My desire is to please You 

And always be a vessel used by thee 


Nataka kufanana nawe Bwana 

Nakuhitaji Nakuhitaji 

Kijito cha maji ya uzima Yesu

Nakuhitaji Nakuhitaji 


Nataka kunywa kwako ili nisiwe na kiu tena Bwana 

Nakuhitaji Nakuhitaji 

Yahweh Yahweh 

Wanitosheleza wanitosheleza Bwana 

Yahweh Yahweh 

Wanitoshelezaa waniotosheleza Bwana 


ms 3:3, ms 131:2


Bila wewe nitaenda wapi Bwana 

Nakuhitaji nakuhitaji Yesu wangu 


Nikiwa mbele zako natulia 

Nikiwa mbele zako natulia 

Amani yako ni kama chemichemi ya maji 

Wewe ni rafiki usiye wa kawaida 

Ni kwako tu naegemea 


Nikiwa mbele zako natulia 

Amani yako ni kama chemichemi ya maji 

Wewe ni rafiki usiye wa kawaida 

Ni kwako tu naegemea 


Jesus I want to be like You 

Lord I need thee 

LOrd I need thee 


NAKUHITAJI BY ERICK SMITH (OFFICIAL VIDEO) #sms Skiza 5430441 to 811