Lyrics Page

Baba Tunasogea

By 24 Elders

3,790 views Jun 6, 2026 updated

Baba tunasogea, Baba tunasogea 

Chini ya miguu yako 

Baba tunasogea 


Baba tunasogea, Baba tunasogea 

Chini ya miguu yako 

Baba tunasogea 


Kama mwanamke aliyetokwa na damu 

Alisogea chini yako 

Akaguza vindo la vazi lako, damu ikakauka 

Nasi twasogea chini chini yako 

Sema neno moja maisha yetu yapone 


Baba tunasogea, Baba tunasogea 

Chini ya miguu yako 

Baba tunasogea 


Hakuna aliyekuja mbele zako akatoka na kilio 

Yeyote aliyekuja kwako Bwana alitoka na furaha 

Nakumbuka Hanna ekaluni alivyosogea chini yako 

Akatoka na Samweli, Ibrahimu na Isaka 

Na mimi nasogea chini yako najua hutaniacha 

mikono wazi, Nakuja mbele zako Bwana 

Sema neno moja 


Baba tunasogea, Baba tunasogea 

Chini ya miguu yako 

Baba tunasogea 


Kama Zakayo alivyopanda juu ya mti ukamwona 

Ukamwambia Zakayo shuka upesi chini yako 

Nasi twasogea chini chini yako 

Ili wokovu wako uingie nchini mwetu 

Nasi twasogea chini chini yako 

Ili furaha yako iingie manyumbani mwetu  


Baba tunasogea, Baba tunasogea 

Chini ya miguu yako 

Baba tunasogea 

...

Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.