Nikuabudu

By Alice Kimanzi

Lyrics

Nikuabudu Lyrics:

Vs 1:

Moyo wangu wakutamani ewe Baba

Mwili wangu wa kulilia 

Kama vile ayala atamanivyo maji akiona kiu (x2)


Chorus:

Nikuabudu Bwana, Nikuabudu

Ndio tamaa yangu milele Bwana

Nikuabudu

Nikuabudu Bwana, Nikuabudu

Ndio tamaa yangu milele Yesu

Nikuabudu…


Vs 2:

Ninapo fadhaika nitakimbia hekaluni mwako

Na nitaimimina nafsi yangu mbele zako Bwana

Kwani upendo wako ni wimbo wa kunituliza

Jina lako tegemeo tena ngome iliyo imara…


Vs 3:

Hapa chini ya mbawa zako sala ni moja

Kwamba kwa macho haya yangu

Niuone utukufu wako

Tenda miujiza, tenda maajabu

Kwani fadhili zako ni bora kuliko uhai


Bridge:

Amen amen amen…


This song is from Psalm 42:

"As the deer pants for streams of water, so my soul pants for you, my God.

My soul thirsts for God, for the living God"



"Alice Kimanzi - Nikuabudu |Official CRM Video|"