Nikuabudu
Lyrics
Nikuabudu Lyrics:
Vs 1:
Moyo wangu wakutamani ewe Baba
Mwili wangu wa kulilia
Kama vile ayala atamanivyo maji akiona kiu (x2)
Chorus:
Nikuabudu Bwana, Nikuabudu
Ndio tamaa yangu milele Bwana
Nikuabudu
Nikuabudu Bwana, Nikuabudu
Ndio tamaa yangu milele Yesu
Nikuabudu…
Vs 2:
Ninapo fadhaika nitakimbia hekaluni mwako
Na nitaimimina nafsi yangu mbele zako Bwana
Kwani upendo wako ni wimbo wa kunituliza
Jina lako tegemeo tena ngome iliyo imara…
Vs 3:
Hapa chini ya mbawa zako sala ni moja
Kwamba kwa macho haya yangu
Niuone utukufu wako
Tenda miujiza, tenda maajabu
Kwani fadhili zako ni bora kuliko uhai
Bridge:
Amen amen amen…
This song is from Psalm 42:
"As the deer pants for streams of water, so my soul pants for you, my God.
My soul thirsts for God, for the living God"
"Alice Kimanzi - Nikuabudu |Official CRM Video|"
Song Information
- Artist
- Alice Kimanzi
- Released
- March 26, 2019
- Genre / Category
- swahili
- Views
- 4,148