Nina Njaa Nina Kiu

By Boaz Danken

Lyrics

Nina njaa na uwepo wako 

Nina kiu sanaa 

Nautamani uwepo wako  

Nina kiu sana 

Kama ayala atamanivyo maji ya mto

Ndivyo nafsi yakuonea shauku


Nina njaa na uwepo wako 

Nina kiu sanaa 

Nautamani uwepo wako  

Nina kiu sana 

Kama ayala atamanivyo maji ya mto

Ndivyo nafsi yakuonea shauku


Natamani niwe kama wewe 

Niwaze kama wewe 

Niwachukulie wengine kama unavyowachukulia

Kila mwenye kiu aje wewe ni maji ya uzima

Nina kiu sanaa


Uliposema nitafute usoo 

Moyo wangu ukasema Bwana uso wako nitaufuta 

Ninatafuta tafuta uso wako 

Ninakesha kanisana ninasoma Bibilia ninaomba

Nina kiu sanaa 


Kama ayala atamanivyo maji ya mto

Ndivyo nafsi yakuonea shauku

Kama ayala atamanivyo maji ya mto

Ndivyo nafsi yakuonea shauku


Unijaze roho mtakatifu 

Unijaze Bwana 

Unijaze roho mtakatifu 

Unijaze Bwana 


Unijaze roho mtakatifu 

Unijaze Bwana 

Unijaze roho mtakatifu 

Unijaze Bwana 

Boaz Danken- Nina Njaa nina Kiu #GodisReal