Unaweza

By Boaz Danken

Lyrics

Unaweza unaweza unaweza unaweza 

Hakuna jambo lililo gumu 

la kukushinda Yesu


Unaweza unaweza unaweza unaweza 

Hakuna jambo lililo gumu 

la kukushinda Yesu


Bwana akamwambia Yeremia 

Nenda nyumbani kwa mfinyanzi 

Utamwona mfinyanzi anavyofinyanga chombo 

Kilichoharibika anakifinyanga tena 

Anakifinyanga tena jinsi apendavyo yeye 


Ndivyo ulivyo Wewe ni mfinyanzi 

Kilichoharibika unakifinyanga tena 

Unakifinyanga tena, unakifinyanga tena 

Jinsi upendavyo Wewe


Haleluya Haleluya

Wewe ni Bwana, wewe ni Bwana

Yesu


"UNAWEZA MFINYANZI Boaz Danken FT Elmes Silas - #GodisReal #PenuelAlbum"