Ninakushukuru

By Boaz Danken

Lyrics

Nimekuja mbele zako ili nikushukuru 

Wewe ndiwe kila kitu kwangu mimi nakushukuru 

Nimekuja mbele zako ili nikushukuru 

Wewe ndiwe kila kitu kwangu mimi nakushukuru 

Nimekuja mbele zako ili nikushukuru 

Wewe ndiwe kila kitu kwangu mimi nakushukuru 


Ninakushukuru kwa yale uliyoyafanya jana 

Ninakushukuru kwa yale unayafanya leo 

Ninakushukuru kwa yale utakayoyafanya kesho 

Maana miaka yangu dunia imehesabiwa na wewe

(repeat)


Asante kwa mawazo mazuri kwangu 

Yananipa tumaini siku ya mwisho 

(repeat)


Ningeamka asubuhi bila wewe Mungu wangu 

Pale nilipolala usingizi huku nikikata tamaa 

Ukaituma hekima kwa siri moyoni mwangu 

Ukanikumbusha agano na uaminifu wako 

Ukautuma wimbo wa sifa moyoni mwangu 

Ili nikusifu na kukushukuru 


Ninakushukuru kwa yale uliyoyafanya jana 

Ninakushukuru kwa yale unayafanya leo 

Ninakushukuru kwa yale utakayoyafanya kesho 

Maana miaka yangu dunia imehesabiwa na wewe

(repeat)


Asante Bwana kwa wema na fadhili zinazodumu milele 

Asante Bwana kwa wema na fadhili zinazodumu milele 

Asante Bwana kwa wema na fadhili zinazodumu milele 

Boaz Danken -Ninakushukuru (sauti ya shukrani kwa BWANA) #GodisReal