Umeinuliwa

By Boaz Danken

Lyrics

Umeinuliwa umeinuliwa 

Umeinuliwa umeinuliwa


Umeinuliwa umeinuliwa 

Umeinuliwa umeinuliwa


Kwa maana jinsi Mungu aliupenda ulimwengu 

Hata akamtoa mwanaye Yesu wa pekee 

Kila amuonaye asipotee awe na uzima wa milele


Kama vile Musa alivyoinua joka la shaba jangwani 

Ndivyo Yesu aliyoinuliwa juu

Kila amuonaye asipotee awe na uzima wa milele


Amekiponda kichwa cha adui 

Ameteka mateka angani 

Amemwaga kipawa kwa watu wake 


Umeinuliwa umeinuliwa 

Umeinuliwa umeinuliwa


Umeinuliwa umeinuliwa 

Umeinuliwa umeinuliwa


Nani alihesabu habari tulizoleea na mkono wa Bwana

Na mkono wa Bwana amefunuliwa nani

Mtu wa huzuni nyingi ajuaye sikitiko 

Alikuja kwetu akafanyika mwanadamu 

Hivyo Mungu kamuadimisha 

Akamkirimia jina lipitalo majina yote 

Kwa jina la Yesu kila goti lipigwe

Na vitu vya mbinguni na duniani 

Na chini ya dunia kila ulimi ukiri 

Kuwa Yesu ni Bwana kwa utukufu wa Baba 


Umeinuliwa umeinuliwa 

Umeinuliwa umeinuliwa

Umeinuliwa umeinuliwa 

Umeinuliwa umeinuliwa

Boaz Danken-UMEINULIWA JUU