Mapito

By Burton King

Lyrics

Nimepita mapito mengi hata hili nitapita 

Ulivuta machozi yangu ukanivusha 

Haleluya usifiwe Mungu mwenye huruma 

Haleluya usifiwe katikati ya janga hili 


Mwili unauma ninahisi nimetoka 

Moyo wangu wavuja damu 

Machozi yamekuwa mengi 

Njoo haraka nisaidie bila wewe nitashindwa 

Nakuhitaji zaidi ya yote 

Maana wewe ndiwe nguvu yangu 


Nimepita mapito mengi hata hili nitapita 

Ulivuta machozi yangu ukanivusha 

Haleluya usifiwe Mungu mwenye huruma 

Haleluya usifiwe katikati ya janga hili 


Najua uko na mimi huwezi Bwana kuniacha 

Ije milima ije mabonde wewe ni Bwana wa Mabwana 

uuuuh uuuh uuuuuh uuuuuuh


Haleluya usifiwe katikati ya jangwa hili 

Haleluya usifiwe katikati ya jangwa hili 

Haleluya usifiwe katikati ya jangwa hili 


BURTON KING - MAPITO