Uniongoze by Ephraim Sekeleti

Updated 1 hour ago

Lyrics Verified by Editorial Team
Ephraim Sekeleti’s “Uniongoze” is a Swahili prayer asking God to guide and bless him. He acknowledges he cannot move forward without God’s strength and that God’s hand has truly blessed him. The song also reflects on being chosen before birth, which connects to the idea of God’s purpose for his life. He asks for God’s blessings, love, and presence to remain with him, and he trusts that God will go before him, removing fear.

Uniongoze na huruma zako
Usipo nibariki siwezi enda
Minajuwa bila nguvu zako siwezi kuenda

Minajuwa bila nguvu zako siwezi kwenda
Kwa mkono wako kweli umenibariki ii
Kwa mkono wako kweli umenibariki

Minajuwa bila nguvu zako siwezi kuenda
Kwa mkono wako kweli umenibariki ii
Kwa mkkono wako kweli umenibariki

Baraka zako ziwe na mimi,
Mapenzi yako yawe na mimi,
Namacho yako yawe na mimi
Kwa Mkono wako kweli umenibariki, kwa mkono wako kweli umenibariki

Ulinichagua kabla sijazaliwa
Ukanichagua nabii wa mataifa yo
Utaninitangulia siatogopa Chochote

Ulinichagua kabla sijazaliwa
Ukanichagua nabii wa mataifa yo
Utaninitangulia siatogopa Chochote

Baraka zako ziwe na mimi,
Mapenzi yako yawe na mimi,
Namacho yako yawe na mimi
Kwa Mkono wako kweli umenibariki, kwa mkono wako kweli umenibariki

Baraka zako ziwe na mimi,
Mapenzi yako yawe na mimi,
Namacho yako yawe na mimi
Kwa Mkono wako kweli umenibariki, kwa mkono wako kweli umenibariki

Tembea nami ee bwana
Tembea nami baba yoo

Official Video