Lyrics Page

Baba Natamani Kuwa Nawe

By Eunice Njeri

2,386 views Jun 6, 2026 updated
Natamani, Baba natamani kuwa nawe
Kuishi nawe kukaa nawe, natamani
Yesu wewe wanitosha, Bwana wangu nakutamani

Baba natamani uwe wangu niwe wako
Chote kilicho changu kiwe ni chako pia
Upendo wako kwangu Yesu ni kama moto
Nimekukimbilia nisiabike milele lee Eh Baba

Baba natamani kuwa nawe
Kuishi nawe kukaa nawe, natamani
Yesu wewe wanitosha, Bwana wangu nakutamani

Baba nimeona upendo wako sio kwa mbali
Moyo wangu wafurahi ndani ya moyo wako
Nitakuinua umekuwa mwema kwangu
Pokea sifa Wewe umekuwa mwema kwangu, wewe mwema

Baba natamani kuwa nawe
Kuishi nawe kukaa nawe, natamani
Yesu wewe wanitosha, Bwana wangu nakutamani

Nitakuita hadi moyo wangu uzimie
Uniongoze kwenye mwamba ulio juu zaidi yangu
Nitakuita Bwana wangu unisikie
Ombi langu sifa zangu kilio changu
Ninapoomba (wanisikia eeh), Ninapoimba (wanisikia eeh)
Ninapolia mimi (wanisikia eeh), Ninapokuita, wanisikia eeh

Baba natamani kuwa nawe
Kuishi nawe kukaa nawe, natamani
Yesu wewe wanitosha, Bwana wangu nakutamani

Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.