Lyrics Page

Bwana Umeinuliwa Katika Kiti Chako Cha Enzi

By Faith Mbugua

3,425 views Jun 6, 2026 updated
Bwana Umeinuliwa katika kiti chako cha enzi
Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi

Maserafi, wako mbele zako Mungu uu
wazikabithi heshima zako mbele zako,
Wanalia mtakatifu, ni wewe Mungu
Mtakatifu mtakatifu, ni wewe Mungu

Bwana Umeinuliwa katika kiti chako cha enzi
Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi

Makerubi pia wako mbele zako ooh,
hata nao wazikabithi heshima zao
Wanazivua taji zao za dhahabu uuh,
wakiinama, mtakatifu ni wewe Mungu.

Bwana Umeinuliwa katika kiti chako cha enzi
Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi

Wazee wale ishirini na wanne, eeh,
hata nao wazikabidhi heshima zao,
Wanainama, mtakatifu ni wewe Mungu uu,
mtakatifu, mtakatifu ni wewe Mungu.

Bwana Umeinuliwa aa, katika kiti chako cha enzi
Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi

Viumbe wale walio hai ii,
hata nao wazikabithi heshima zao.
Wapeperusha, mabawa yao mbele zako, ooh,
wajifunika, mtakatifu ni wewe Mungu

Bwana Umeinuliwa aa, katika kiti chako cha enzi
Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi

Nafsi yangu naiinua mbele zako ooh,
Naungamana na hilo jeshi la mbinguni,
mataifa yote nayo yajue, eeh,
ya kwamba wewe, wewe mungu ni mtakatifu

Bwana Umeinuliwa aaah, katika kiti chako cha enzi
Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi

Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.