Bwana Umeinuliwa Katika Kiti Chako Cha Enzi
Faith Mbugua's song 'Bwana Umeinuliwa' is a Swahili worship song that exalts God as holy and lifted up on His throne. The lyrics describe heavenly beings—seraphim, cherubim, the twenty-four elders, and living creatures—all bowing and casting their crowns before God, declaring Him holy. The singer joins this celestial chorus, lifting her soul and confessing God's holiness before the nations. The song draws from biblical visions of God's throne room, particularly Isaiah 6 and Revelation 4, emphasizing God's supreme majesty and worthiness of all honor and praise.
Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi
Maserafi, wako mbele zako Mungu uu
wazikabithi heshima zako mbele zako,
Wanalia mtakatifu, ni wewe Mungu
Mtakatifu mtakatifu, ni wewe Mungu
Bwana Umeinuliwa katika kiti chako cha enzi
Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi
Makerubi pia wako mbele zako ooh,
hata nao wazikabithi heshima zao
Wanazivua taji zao za dhahabu uuh,
wakiinama, mtakatifu ni wewe Mungu.
Bwana Umeinuliwa katika kiti chako cha enzi
Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi
Wazee wale ishirini na wanne, eeh,
hata nao wazikabidhi heshima zao,
Wanainama, mtakatifu ni wewe Mungu uu,
mtakatifu, mtakatifu ni wewe Mungu.
Bwana Umeinuliwa aa, katika kiti chako cha enzi
Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi
Viumbe wale walio hai ii,
hata nao wazikabithi heshima zao.
Wapeperusha, mabawa yao mbele zako, ooh,
wajifunika, mtakatifu ni wewe Mungu
Bwana Umeinuliwa aa, katika kiti chako cha enzi
Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi
Nafsi yangu naiinua mbele zako ooh,
Naungamana na hilo jeshi la mbinguni,
mataifa yote nayo yajue, eeh,
ya kwamba wewe, wewe mungu ni mtakatifu
Bwana Umeinuliwa aaah, katika kiti chako cha enzi
Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi