Anatenda Lyrics

By Florence Andenyi

Lyrics

Najua ni muda kabla utabasamu 

Huoni matunda ya kazi yako ngumu 

Kila siku magoti kwa madhabau 

Ila jibu NO mbingu imenyamaza kimya  

Karo ya shule na kodi washindwa utaitwa nani 

Tena maswali ni mengi mijibu umekosa tu 


Ona Yesu anabisha, anasema shida zimekwisha 

Roho yako atuisha, Mfungulie 


Kama alitenda Yesterday, atatenda leo 

Hajabadilika kamwe 

Kama alitenda Yesterday, atatenda leo 

Hajabadilika kamwe 


Anakuona sana vile umekazana sana 

Ila bila mafanikio bado anaona tu 

Hakuna mbaya anasema ndio hauko pekee yako tu 

Mungu si mwanadamu avunje agano lake 

Anangoja imani yako atimize neno lake 

Lipi gumu kwake hana rekodi ya kushindwa 

Fedha ni zake deni atakulipia 


Ona Yesu anabisha, anasema shida zimekwisha 

Roho yako atuisha, Mfungulie 


Kama alitenda Yesterday, atatenda leo 

Hajabadilika kamwe 

Kama alitenda Yesterday, atatenda leo 

Hajabadilika kamwe 


Weka imani yako juu, juu sana 

Tena ongeza matendo, matendo ooh 

Mungu anaona kazi yako 

Mungu anaona bidii yako 

Weka imani yako juu sana 



Ona Yesu anabisha, anasema shida zimekwisha 

Roho yako atuisha, Mfungulie 


Kama alitenda Yesterday, atatenda leo 

Hajabadilika kamwe 

Kama alitenda Yesterday, atatenda leo 

Hajabadilika kamwe 


Now Playing...