Nimemuona Yesu

By Florence Andenyi

Lyrics

Kama Petro alivua samaki

Bila mafanikio

Usiku huo ulikuwa mgumu

Ulikuwa mkavu


Lakini Yesu alipofika

Zile nyavu zilijaa samaki

Nani kama Yesu?


Nimemuona Yesu

Nimemuona Baba

Eeh nimemuona Yesu

Nimemuona Baba


Nimemuona Yesu akitenda

Nimemuona Baba

Nimemuona Yesu, nimemuona Baba

Nimemuona Yahweh, nimemuona Baba


Ni mengi aliyotenda

Hajawai nifeli hata siku moja

Uhai amenipa

Baraka za bure Yesu amenipa

Uzima amenipa

Uhai wa bure baba amenipa


Afananishwe na nani

Yesu alinganishwe na nani

Afananishwe na nani

Yesu alinganishwe na nani


Unameremeta Yesu unametata

Unameremeta Yesu unametata

Unameremeta Yesu unametata

Unameremeta Yesu unametata


Nimemuona Yesu

Nimemuona Baba

Eeh nimemuona Yesu

Nimemuona Baba


Nimemuona Yesu akitenda

Nimemuona Baba

Nimemuona Yesu, nimemuona Baba

Nimemuona Yahweh, nimemuona Baba

FLORENCE ANDENYI-NIMEMUONA YESU [PETRO][Official Video]SMS SKIZA 9049498 to 811