MAMBO YANABADILIKA - Naona Mambo Yakibadilika
Hellen Ken's song 'Mambo Yabadilika' is a Swahili gospel song about divine restoration and transformation. The lyrics declare that things are changing for the better because of God's goodness. It speaks of the lowly being lifted, the last becoming first, and the restoration of lost relationships, children, homes, jobs, and honor. The song encourages listeners to embrace new identities, moving from barrenness to fruitfulness and from rejection to acceptance. It is a message of hope and faith in God's power to reverse situations and bring breakthrough.
Mambo, mambo yabadilika
Naona mambo yakibadilika
Yabidilika kwa wema wako
Naona mambo yakibadilika
Yabidilika kwa wema wako
Mambo, mambo yabadilika
Walio chini sasa, naona wakiinuliwa
Walio nyuma sasa, naona wakiwa mbele
Wanaodharauliwa, naona heshima zao
Wanaolia sasa, machozi yanapanguzwa
Huu ni mwaka wa urejesho
Uliyepoteza ndoa, naona ikirejeshwa
Uliyepoteza watoto, naona wakirejeshwa
Uliyepoteza nyumba, naona ikirejeshwa
Uliyepoteza kazi, naona ikirejeshwa
Uliyepoteza cheo, naona kikirejeshwa
Uliyepoteza heshima, naona ikirejea
Kwani mambo yabadilika
Naona mambo yakibadilika
Yabidilika kwa wema wako
Naona mambo yakibadilika
Yabidilika kwa wema wako
Majina yaenda kubadilika
Wanaoitwa tasa, naona wakiitwa mama
Wanaodharauliwa, naona heshima zao
Wanaoitwa duni, sasa wainuliwa
Walio pekee yao, waenda pata wachumba
Kwani mambo, mambo yabadilika
Wanaolia sasa, machozi wanapanguza
Waliokataliwa, sasa wakubalika
Wasio na makao, wapata makao yao
Wasio na amani, wapata amani yao
Wasio na furaha, wapata furaha yao
Kwani mambo, mambo yabadilika
Naona mambo yakibadilika
Yabidilika kwa wema wako
Naona mambo yakibadilika
Yabidilika kwa wema wako
Jipe jina, tutakuita unapojiita sasa
Pokea jina jipya, maana majina yabadilika
Refrain: Naitwa mbarikiwa
Tukuite nani nani leo
Jipe jina, jipe jine
Na wewe waitwa nani leo
Baba yangu tukuite nani
Naona mambo yakibadilika
Yabidilika kwa wema wako
Jipe jina, jipe jina