Lyrics Page
Bariki Kenya
1,463 views
Jul 13, 2026 updated
Verified editorial review
Kamnjoro's song is a prayer for Kenya, asking God to bring peace, love, and unity while addressing corruption, selfishness, and tribalism. The lyrics call on God to cleanse the nation and rebuke the enemy's influence. The artist gives thanks for leaders and asks for God's blessing over the country, remembering those who have passed away and those suffering. The song reflects a heart of intercession and gratitude for Kenya.
Lyrics Verified by Editorial Team
Nikiombea nchi yangu kenya
Amani upendo na umoja, Kenya yetu amani tele
ufisadi ubinafsi ukabila, adui zetu Kenya wanatutesa
vijana wetu umewamalika, kweli shetani kaamulia Kenya
Ni wengi wametuacha, wengi wamelala salama
wengi wanateseka, ee Mungu ilinde Kenya
Baba kuwa unatupenda, unatujali tena unatuwaza
Hawa wachafu wanachafua Kenya
Tumalizie daddy safisha Kenya
Shetani hauna uwezo, kazi yako kuchanganya watu
kuharibu na kumaliza, nakuamuru sasa uhame Kenya
Ni wengi wametuacha, wengi wamelala salama
wengi wanateseka, ee Mungu ilinde Kenya
Na tena narudisha shukrani kwa viongozi Baba uliotupa
Kwa kuwa mi tena ni wakuheshimu, Bariki kenya baba tufurahie
Roho wa Mungu, Bariki kenya
Daima kenya, amani tele
Kupingana hatuna, sote ni wakenya
Mliolala, laleni salama
Mwenyezi Mungu, Bariki Kenya
Ni wengi wametuacha, wengi wamelala salama
wengi wanateseka, ee Mungu ilinde Kenya
Na tena narudisha shukrani kwa viongozi Baba uliotupa
Kwa kuwa mi tena ni wakuheshimu, Bariki kenya baba tufurahie
Roho wa Mungu, Bariki kenya
amani tele, sote ni wakenya, laleni salama
Mwenyezi Mungu, Bariki Kenya