Uliniona Toka Mbali Lyrics

By Malak Mbise

Lyrics

Uliniona toka mbali 

Ukaniita toka mbali 

Nami nimekuja kwako Yesu kukusifu 


Uliniona toka mbali 

Ukaniita toka mbali 

Nami leo nimekuja mbele zako Yahweh kukusifu 


Uliniona toka mbali 

Ukaniita toka mbali 

Nami nimekuja kwako Yesu kukusifu 


Maana hakuna kama wewe 


Wewe ni Mungu, waweza yote 

Unastahili Yesu 

Wewe ni Mungu, waweza yote 

Unastahili Yesu 


Usifiwe Bwana, usifiwe milele 

Nalibariki jina lako Yesu 


Nalibariki jina lako Yesu 

Nalibariki jina lako Yesu 

Uliniona Toka Mbali - Malak Mbise

Now Playing...