Hutendeka Kwa Wema

By Mercy Linah

Lyrics

Najipa moyo katika Bwana najua 

Yote hutendeka kwa wema 

katika yale yote mimi napitia 

Yote hutendeka kwa wema 

Hata nipite katika katikati ya moto 

Sitaogopa Yote hutendeka kwa wema 

Mimi ninaye Baba aliye pamoja nami kila wakati 

Yote hutendeka kwa wema 


Katika mambo yote 

Mungu hufanya kazi na kuifanikisha 

Wowowoo pamoja na wote wampendao 

aliowaita kadiri Ya kusudi lake 


Wewe uliyepoteza kazi kumbuka 

(Yote hutendeka kwa wema) 

Tena umepatwa na msiba 

Mungu ndiye nguvu yako 

(Yote hutendeka kwa wema) 

Usinun'gunike usilalamike 

(Yote hutendeka kwa wema) 


Katika mambo yote 

Mungu hufanya kazi na kuifanikisha 

Wowowoo pamoja na wote wampendao 

aliowaita kadiri Ya kusudi lake 

...


Mercy Linah - Hutendeka Kwa Wema (Official Video)