Nakutazamia - We Ndiwe kimbilio Langu

By Mercy Wairegi

Lyrics

We ndiwe kimbilio langu

Wakati wowote nakukimbilia

We ndiwe msaada wangu

Usiku na mchana nakutazimia aah 


Nitaeleza sifa zako eh Baba

Kwa mataifa wote wajue

Ukuu wako unazidi kuzimu

Uaminifu wako wanishangaaza

Napokuita we wanisikia

Napokuomba wanijibu 

Wakati wote we wapatikana

Zaidi swahibu Upokaribu


We ndiwe kimbilio langu

Wakati wowote nakukimbilia

We ndiwe msaada wangu

Usiku na mchana nakutazimia 


Nainua macho yangu

Natazaama milimani

Msaada wangu watoka wapi?

Msaada wangu watoka kwako

x2 


We ndiwe kimbilio langu

Wakati wowote nakukimbilia

We ndiwe msaada wangu

Usiku na mchana nakutazimia


We ndiwe, wewe wewe, we ndiwe

nakukimbiliaaa

we ndiwe, we ndiwe, we ndiwe

nakutazamiaa

we ndiwe, we ndiwe

we ndiwe, we ndiwe

we ndiwe, we ndiwe(we ndiwe)

Kimbilio langu, we ndiwe

nakukimbiliaaa

we ndiwe(weeee) oooh

usiku na mchana

nakutazamia(nakutazamia wee-he)

we ndiwe kimbilio langu

Wakati wowote nakukimbilia

we ndiwe msaada wangu

Usiku na mchana nakutazimia

we ndiwe, Wewe eh eh eh

Ooh ho kimbilio langu

msaada wangu wooh

Nakutazamia by Mercy Wairegi Njenga (Official video)