Naja Kwako Bwana Lyrics

By MJCN Goma

Lyrics

Dhambi zangu mimi zimenifunga

Ninaja tena na makosa 

Ninakuja kwako uniokoe 

Unisafishe unitakase Bwana 


Dhambi zangu mimi zimenifunga

Ninaja tena na makosa 

Ninakuja kwako uniokoe 

Unisafishe unitakase Bwana 


Dhambi zangu mimi zimenifunga

Ninaja tena na makosa 

Ninakuja kwako uniokoe 

Unisafishe unitakase Bwana 


Naja kwako nikubali nitakase 

Mimi mwenye dhambi nyingi 

Nikubali nitakase 


Naja kwako nikubali nitakase 

Mimi mwenye dhambi nyingi 

Nikubali nitakase 

Now Playing...