Muda Mwingi Nilipotea - Kwa Kalvari

By Paul Sifa

Lyrics

Muda mwingi nilipotea,

Sikufahamu msalaba,

Wala aliyenifilia,

Kwa Kalvari.


Rehema bure na neema,

Samaha nalo nilipewa,

Ndipo aliponifungua

Kwa Kalvari.


Kwa neno lake Bwana Mungu,

Nilijiona mimi mwovu,

Nikageuka na kutubu,

Kwa Kalvari.


Rehema bure na neema,

Samaha nalo nilipewa,

Ndipo aliponifungua

Kwa Kalvari.


Yote kwa Yesu namtolea,

Ndiye mfalme wa pekee sasa,

Kwa furaha nitamwimbia,

Wa Kalvari.


Rehema bure na neema,

Samaha nalo nilipewa,

Ndipo aliponifungua

Kwa Kalvari.


Jinsi pendo lilivyo kuu,

Neema ilishuswa toka juu,

Alitufanyia wokovu

Kwa Kalvari.


Rehema bure na neema,

Samaha nalo nilipewa,

Ndipo aliponifungua

Kwa Kalvari.

"Paul Sifa- Muda Mwingi Nilipotea \/ Kwa Calvary (Official Audio)"