Lingala Ya Yesu

By Pitson

Lyrics

Imekuwa muda sasa papa sijakuimbia Lingala Baba

Nimekuwa nikishughulisha na mareggea na maragga

Mablues zikafanya mimi n'kalala 

Sasa nimeamka Baba naimba Lingala 

Waliniambia lingala poa nifunge mshipi juu ya tumbo

Na nijue kilingala eti “petit Lingala le eza moke” 

Wakaniambia Lingala poa niongee katikati ya wimbo

“Naongea, na sina kitu cha kusema” 

Mimi nasema Lingala ya Yesu haikuwangi complicated

Ukipewa kagitaa tu, Ukipewa kagitaa tu,

Unainua mikono juu, unasifu Yesu juu 


Lingala ya Yesu wangu, inaokoa 

Lingala ya Yesu wangu, inabariki 

Lingala ya Yesu wangu, si complicated 

Unasifu unasifu unasifu Yesu Juu 


Sio lazima utoboe kila pahali ndio msanii usikike 

Sio lazima magari ya kifahari ndio video ishike 

Sio lazima ujue kilingala ndio Congo ufike 

Nao madancer, nguo zimewabana, zimewabana 

Mimi nasema Lingala ya Yesu haikuwangi complicated

Ukipewa kagitaa tu, Ukipewa kagitaa tu

Unainua mikono juu, unasifu Yesu juu 


Lingala ya Yesu wangu, inaokoa 

Lingala ya Yesu wangu, inabariki 

Lingala ya Yesu wangu, si complicated 

Unasifu unasifu unasifu Yesu Juu 


Unasifu unasifu Yesu juu 

Sio jina lako we msanii, unasifu Yesu Juu 

Pitson - Lingala Ya Yesu (Official Video) SMS "SKIZA 90010728" to 811