Tenda Wema

By Ringtone

Lyrics

Tenda wema nenda zake wee 

Usisahau Mungu anaona 

Siku kuhukumu kuwa itafika 


Mayatima umesomesha sana 

Wenye shida umesaidia wote 

Wenye njaa umewapa chakula 

Nguo zako umepeana zote 

Hakuna anayetambua yale umetenda kwote 

Sasa naona inakupa worry nakuomba wewe usijali 

Aliyekuita anaona yote, tabariki ya siku zote 


Tenda wema nenda zako wee 

Usisahau Mungu anaona 

Siku kuhukumu kuwa itafika 


Aliwaponya wagonjwwa wao ni Yesu huyo 

Akafufua wafu wao ni Yesu Huyo 

Mwisho wakamwita pepo huyo ooh 

Na tena wakamwita Belizeburi 

Wewe si wa kwanza na hutakuwa wa mwisho 

Yesu katukanwa sembuse mwanadamu 


Tenda wema nenda zako wee 

Usingoje shukurani eeh 

Usisahau Mungu anaona 

Siku kuhukumu kuwa itafika 


Tenda wema nenda zako wee 

Usisahau Mungu anaona 

Siku kuhukumu kuwa itafika 


Utawasomesha wajue kizungu wakutusi 

Utawalisha washibe wakupige 

Wewe tenda mema, wewe tenda mema tu 


Tenda wema nenda zako wee 

Usisahau Mungu anaona 

Siku kuhukumu kuwa itafika

Ringtone ft Christina Shusho - Tenda Wema (Official Music Video hd)