Simuachi Yesu Lyrics

By Tafes Aru

Lyrics

Aiye simuachi Yesu 

Aiye simuachi Yesu 

Hata iweje simuachi Yesu 

Hata iweje simuachi Yesu 


Aiye simuachi Yesu 

Aiye simuachi Yesu 

Hata iweje simuachi Yesu 

Hata iweje simuachi Yesu 


Kitu gani kinitenge na upendo wa Mungu (Hakuna) 

Kitu gani kinitenge na upendo wa Baba (Hakuna)

Kitu gani kinitenge na upendo wa Yesu (Hakuna)

Iwe ni mali (Hakuna) 

Je wazazi (Hakuna)

Pesa kidogo (hakuna) mali kidogo (hakuna) 

Niwe ni chini (hakuna) Je masomo (hakuna) 

Nan'gang'ana 


Aiye simuachi Yesu 

Aiye simuachi Yesu 

Hata iweje simuachi Yesu 

Hata iweje simuachi Yesu 


Pamoja na Yesu (Pamoja na Yesu)

Pamoja na Yesu

Pamoja na Yesu


Iyeeee 

Yeye ni mfalme Bwana Yesu eeh 

Yeye ni mfalme Bwana Yesu eeh

Anatawala kote, kote kote

Yesu (Yesu, Yesu, Yesu)

Anatawala kote Bwana (Yesu, Yesu, Yesu)


Eeeh Yahweh twakutuza tukisema 

(Hakuna Mungu kama wewe)

Eeeh Yahweh twakutuza tukisema 

(Hakuna Mungu kama wewe)


Iyee Hakuna kama wewe, Mungu kama wewe 

Iyee Hakuna kama wewe, Mungu kama wewe


Eeeh Yahweh twakutuza tukisema 

(Hakuna Mungu kama wewe)

Eeeh Yahweh twakutuza tukisema 

(Hakuna Mungu kama wewe)


Luwe luwe luwe (Luwe)

Luwe Yesu (luwe)



Simuachi Yesu (sebene - tafes aru Praise & Worship

Now Playing...