Lyrics

Raha raha raha raha raha 

Watu tuko pamoja tuna nia moja 

Tunasema pamoja kwa umoja 

Yaani kama mafuta yanyanyukayo 

Katika ndevu za haruni 

(*2) 


Tuko nyumba ya raha 

Tuko na Yesu kihome home 

Tumekutana kwa raha 

Tuko na Yesu kihome home 


Tuko nyumba ya raha 

Tuko na Yesu kihome home 

Tumekutana kwa raha 

Tuko na Yesu kihome home 


Kihome home, kihome home 

Kihome home, kihome home 


Tumevua mapombo na vitu vyote vya dhamani 

Tumekuja kwa roho tena kwa nguvu ya imani 

Palipo na roho wa Mungu hapo ndipo kwenye raha 

kihome home, 

Hatuna mashaka tunayo nguvu ndio furaha ya Bwana (kihome home) 


Nimekukwaza moyoni kiseme moyoni 

Tumekutana kwa raha 

Nini kimekukwaza hebu kiseme tukiondoee 

Palipo na roho wa Mungu hapo ndipo penye raha(kihome home) 

Hatuna mashaka tunayo nguvu ndio furaha ya Bwana (kihome home) 


Tuko nyumba ya raha 

Tuko na Yesu kihome home 

Tumekutana kwa raha 

Tuko na Yesu kihome home 


Kihome home, kihome home 

Kihome home, kihome home 

KIHOMEHOME LIVE ONSTAGE MOROGORO- THE SURVIVIVORS GOSPEL CHOIR