Lyrics

Intro ;

aaahhh Thank you Jesus,

Thank You Lord,Hallelujah

Sijaona Kama wewe sijaona

Sijaona kama weweee bwanaa 


CHORUS 

Sijaona kama wewe eeehhh

Sijaona kama wewe eehh Bwana 


VERSE 1

Nimekukimbilia wewe ili nisiaibike

Nakinywa changu kinene utukufu kwako milele

Nisiwe mbali na uso wako,na kweli yako inifunike

Giza litapotanda,Nuru yako inimulike

Nitakuimbia Zaburi,wimbo wa moyo wangu

sitoacha kukusifu,ewe MUNGU wangu

tena kwa wingi wa fadhili,na wema wako kwangu

utadumu milele ,maishani mwangu uuuuuhh


CHORUS

Sijaona kama wewe eeehhh

Sijaona kama wewe bwanaa


VERSE 2

Nitatangaza ushindi asubuhi na mapema

Maana vita yangu YESU ni wewe umenishindia

Na lile vazi la aibu ukanitoa ukanivika la heshima

niseme nini Bwana hakuna kama wewe eeehh

Nitakuimbia Zaburi,wimbo wa moyo wangu

sitoacha kukusifu,ewe MUNGU wangu

tena kwa wingi wa fadhili,na wema wako kwangu


CHORUS 

Sijaona kama wewe 

Sijaona kama wewe bwanaaa

utadumu milele ,maishani mwangu uuuuuhh

Walter Chilambo -Sijaona (Official Video Lyrics)