Panguza macho ili uone mbele
Zed B's song 'Panguza Macho' is a Swahili Christian song that encourages listeners to wipe away their tears and look forward with hope. The lyrics speak about being abandoned by friends and facing trials, but remind that God is faithful and will bring joy in the morning. It references Sarah from the Bible who had a child after enduring hardship, and emphasizes that God sees and does not discriminate. The song is a message of perseverance, faith, and the assurance that better days are coming.
lakini kesho mambo itakuwa shwari
mambo itakuwa shwari na wewe
Panguza macho, panguza macho ,
panguza macho ili uone mbele ,utacheka tena
Panguza macho, panguza macho ,
panguza macho ili uone mbele ,utacheka tena
Wale wale watu. ulikula nao, ulicheka nao,
ata kutembea, ulienda nao
unaona onaonana nao ,wako wapi
Walikuacha ukizubaa
walikuacha ukilia
hao,walikuacha ukiwa down
panguza machozi usilie
Kumbuka sarah alipata mtoto baada ya kuvumilia,
kesho itakuwa vyema na wewe
Panguza macho, panguza macho ,
panguza macho ili uone mbele ,utacheka tena
Panguza macho, panguza macho ,
panguza macho ili uone mbele ,utacheka tena
Shamba ni yako, wanakupeleka kortini, ufanye nini?
gari umenunua sura baya wakapita nayo, wakutakia nini?
ata huko kazini moto umewaka, wanataka nini?
ulidhani umepata lazizi ,kumbe ilikuwa bure.
akutesea nini unaonaonaonana nao,wako wapi?
Walikuacha ukizubaa , Wako wapi?
walikuacha ukilia, hao,walikuacha ukiwa down,(they left you while u where stressed)
Eeh panguza machozi usilie safari bado,
kilio kinaweza kuwa usiku furaha inakuja asubuhi ,
wewe utacheka tena
Panguza macho, panguza macho ,
panguza macho ili uone mbele ,utacheka tena
Panguza macho, panguza macho ,
panguza macho ili uone mbele ,utacheka tena
Baba, baba, baba, baba x2 ,anaweza
Baba wa mbinguni baba wangu mie,Anaweza
Walikupa kisongo wakaenda
Kesho watakupa saluti
Mungu wetu hana ubaguzi ,anakuona
Panguza macho, panguza macho ,
panguza macho ili uone mbele ,utacheka tena
Panguza macho, panguza macho ,
panguza macho ili uone mbele ,utacheka tena