Lyrics Page

Nimemuona Bwana

By Abiudi Misholi

2,557 views Jun 6, 2026 updated


Nimemuona Bwana (Nimemuona Bwana) 

Nimemuona Bwana (Nimemuona Bwana) 

Nimemuona akinitendea (Nimemuona Bwana) 

Nimemuona akinilinda (Nimemuona Bwana) 

Nimemuona akiniponya (Nimemuona Bwana) 

Akinifuta machozi (Nimemuona Bwana) 

Akiondoa aibu yangu (Nimemuona Bwana) 

Akinivika heshima (Nimemuona Bwana) 


Nilikuwa na shida, nilikuwa na mateso 

Moyo wangu uliumia, moyo wangu ulichoka 

Bwana Yesu akaja akanishika mkono 

Neema yake nimepata leo nimejaa amani 

Nimemuona Baba nimemuona Bwana 

Nimemuona Yesu yeye yeyee 


Mama usikate tamaa, baba usikate tamaa 

Kwa yale unayapitia wala usifadhaike 

Yuko Mungu akuona Yuko Mungu akutazama 

Utamuona yeyee utamuona leo 


Utamuona Bwana (Utamuona Bwana) 

Utamuona Bwana (Utamuona Bwana) 

Utamuona akikutendea (Utamuona Bwana) 

Utamuona akikulinda (Utamuona Bwana) 

Utamuona akikuponya (Utamuona Bwana) 

Akikufuta machozi (Utamuona Bwana) 

Akiondoa aibu yako (Utamuona Bwana) 

Akikuvika heshima (Utamuona Bwana) 


Leo ni siku yako ya kukutana na Baba 

Macho ya MUngu yawe nawe 

Fungua moyo umuone 

Nyosha mikono umtazame 

Piga magoti umlilie ...


Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.