Tumekubalika na Mungu
Tuna nguvu za kifalme
Ametuchora kwenye moyoni wake
Utukuzao wa agano x2
Nguvu za uteule (aaaah)
Uhadhi wa kifalme
Taifa takatifu
Watu wa miliki ya Mungu
Nimemuona Mungu amewaleta kutoka misri
Kuwa na nguvu kama za kale
Watawavunja adui mifupa vipande vipande
Watawachoma adui kwa mishale
Eeeh bariki mali ya [?]
Mungu kabariki nani wa kuwapinga?
Wana nguvu aaah Mungu kawapa
Wanawaweza (aaaah) Bwana kawapa
Wanautishoa (aaaah) Bwana kawapa
Hatuwezi tishwa kwa maneno yao
Nguvu zetu zipo kwa Bwana
Tulipona kwa pharaoh
Tukiwa ugenini hatukufa kwa njaa
Tukiwa hatuna kitu tulinusurika vita
Tukiwa hatuna silaha tulipona magonjwa
Tukiwa hatuna dawa tulipona [?]
Tuliweza maisha tukiwa hatuna hela
Tulishinda upweke tukiwa tumeachwa
Tuliponyoka kesi bila ya mtetezi
Mungu alikuwepo hatukuwa pekee yetu
Waliotuonea ndio hawakujua
Watoto wa misri tuna nguvu
kama za nyati kuvunja vipande
yaa yaa yaa yaaah
Tumekubalika na Mungu
Tuna nguvu za kifalme
Ametuchora kwenye moyoni wake
Utukuzao wa agano
Tumekubalika na Mungu
Tuna nguvu za kifalme
Ametuchora kwenye moyoni wake
Utukuzao wa agano
...
Usiyelala (aaa-aah)
Tumekubalika Na Mungu
Ambwene Mwasongwe's song 'Tumekubalika na Mungu' is a Swahili Christian worship song celebrating believers' acceptance and royal authority in God. The lyrics declare that God has drawn His people into His heart and given them kingly strength. It references God's deliverance of Israel from Egypt, portraying believers as a holy nation with divine power to overcome enemies, sickness, poverty, and loneliness. The song emphasizes that their strength comes from the Lord, who never sleeps. It is a declaration of victory, identity, and covenant blessing, rooted in Old Testament imagery of God's faithfulness to His people.