Lyrics Page

Jina La Yesu

By Angela Chibalonza

3,448 views Jun 18, 2026 updated Verified editorial review

Angela Chibalonza's song 'Jina La Yesu' is a Swahili gospel song celebrating the power of the name of Jesus. The lyrics testify to healing, forgiveness of sins, and deliverance from the devil's grip. The singer recounts calling on Jesus' name during times of trouble, sickness, and financial hardship, and finding help and freedom. The song expresses joy and gratitude for salvation, a transformed life, and the hope of heaven. It emphasizes the name of Jesus as a source of life, rescue, and victory over adversity.

Lyrics Verified by Editorial Team

Jina la Yesu limeniponya maisha,

Jina la Yesu,limenisamehe dhambi,

Jina la Yesu limenitoa katika mikono ya ibilisi!


Nililiita jina la Yesu nikapata uzima,

kanitoa matesoni akaniokoa,

na sasa naimba kwa utukufu wake,

Roho wake amenijaza sasa niko Huru,

Hu-u-u-ru!


Jina la Yesu limeniponya maisha,

Jina la Yesu,limenisamehe dhambi,

Jina la Yesu limenitoa katika mikono ya ibilisi!



Nilipokua katika shida, sikuona rafiki,

Magonjwa na shida yakanisumbua,

masoma ya watoto nikashindwa kulipa,

Hata pesa za nyumba nikashindwa kulipa,

Marafiki kanikimbia sababu ya shida,

Nilipo ita jina la Yesu nikapata msaada,

Nilisongea akanipa, sasa nafurahi,

furahi-i-I katika Bwana Yesu


Jina la Yesu limeniponya maisha,

Jina la Yesu,limenisamehe dhambi,

Jina la Yesu limenitoa katika mikono ya ibilisi!

Jina la Yesu limeniponya maisha,

Jina la Yesu,limenisamehe dhambi,

Jina la Yesu limenitoa katika mikono ya ibilisi!


Sasa nafurahia, kuishi pamoja naye,

tangu nilipo okoka maisha imebadilika,

Na safari yangu, naelekea mbingu-u-uni


Jina la Yesu limeniponya maisha,

Jina la Yesu,limenisamehe dhambi,

Jina la Yesu limenitoa katika mikono ya ibilisi!

Jina la Yesu limeniponya maisha,

Jina la Yesu,limenisamehe dhambi,

Jina la Yesu limenitoa katika mikono ya ibilisi!


Nililiita jina la Yesu nikapata uzima,

kanitoa matesoni akaniokoa,

na sasa naimba kwa utukufu wake,

Roho wake amenijaza sasa niko Huru,

Hu-u-u-ru!


Nililiita jina la Yesu nikapata uzima,

kanitoa matesoni akaniokoa,

na sasa naimba kwa utukufu wake,

Roho wake amenijaza sasa niko huru,

Hu-u-u-ru!


Jina la Yesu limeniponya maisha,

Jina la Yesu,limenisamehe dhambi,

Jina la Yesu limenitoa katika mikono ya ibilisi!

Music Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.