Hakuna Wa Kufanana Lyrics

By Anthony Musembi

Lyrics

Hakuna wa kufanana na Yahweh 

(Hakuna wa kufanana naye)

Hakuna wa kufanana na Mungu 

(Hakuna wa kufanana naye)  


Yeye anaweza 

Yeye anaweza yeye anaweza 

Hakuna wa kufanana naye 

Yeye aokoa 

Yeye aokoa Yeye aokoa 

Hakuna wa kufanana naye 

Yeye abariki 

Yeye abariki, yeye abariki 

Hakuna wa kufanana naye 


Yeye atawala 

Yeye atawala, Yeye atawala 

Hakuna wa kufanana naye 


Yeye Jemedari 

Yeye Jemedari, Yeye Jemedari 

Hakuna wa kufanana naye 


Hakuna wa kufanana na Baba 

(Hakuna wa kufanana naye) 

Hakuna wa kufanana na Yahweh 

(Hakuna wa kufanana naye)


Yeye ainua 

Yeye ainua, Yeye ainua 

Hakuna wa kufanana naye


Yeye ni mshindi

Yeye ni mshindi, Yeye ni mshindi 

Hakuna wa kufanana naye


Yeye ni mwalimu wangu 

Yeye ni mwalimu, Yeye ni mwalimu 

Hakuna wa kufanana naye 


Naijulikane kwamba yupo wa uwezo 

Naijulikane kwamba yupo wa uwezo 

Naijulikane kwamba yupo wa uwezo 


HAKUNA WA KUFANANA || PASTOR ANTHONY MUSEMBI

Now Playing...