Asante Baba Lyrics

By Beatrice Mwaipaja

Lyrics


Leo ooh kwa neema za 

Ni Mungu ni Mungu ni Mungu uu 

Ni Baba ni Baba ni Baba ah 

Ametenda leo Mungu uu 

Amefanya leo Baba aah 

Pendo lake limenitoa mbali Baba 

Amenifikisha hapa nilipo Mungu 

Huruma zake Baba zimenitafuta mie eh 

Fadhili zake Mungu zimenitoa mbali 


Leo Mungu amefanya jambo maishani mwangu 

Acha niringe mimi nina Mungu 

Acha nilinge Baba amenitoa mbali ii 

Ametenda mema kwangu uu 

Ni Mungu leo ni Mungu (aaah) 

Ni Baba leo ni Baba (asante) 

Asante Baba 


Asante (asante Baba aah)

Asante (asante Baba) 

Asante (asante Baba) 


Ni Mungu leo nashukuru Mungu 

Umepata mtoto mzuri (shukuru) 

Umefaulu mitihani (shukuru) 

Ni Mungu ni Mungu ni Mungu uu 

Ni Baba ni Baba ni Baba ah  

Malaika ulivyo mpendwa ni Mungu 

Usijivune bure wewe ni Mungu 

Mali ulizonazo ni Mungu (shukuru) 

Sio kwamba wewe ni mzuri sana (shukuru) 

Ila ni neema ya Mungu 

Unaendesha gari lako ni Mungu 


Ni Mungu leo ni Mungu (aaah) 

Ni Baba leo ni Baba (asante) 

Asante (asante Baba aah)

Asante (asante Baba) 

Asante (asante Baba) 


Tuzishe sala ili tuwe imara 

Tusije tukapotea, Asante (asante Baba)

Asante (asante Baba) 

Asante (asante Baba) 


BEATRICE MWAIPAJA - ASANTE BABA (Official Music Video)

Song Information

Released
November 1, 2018
Genre / Category
swahili
Views
1,400

More from Beatrice Mwaipaja

Now Playing...