Ebenezer ni Mungu Lyrics

By Beatrice Mwaipaja

Lyrics

We ni Ebenezer Mungu wa rehema 

Unayetutia nguvu kila saa 

We ni Ebenezer Mungu mwenye nguvu

Uliyeniwezesha kufika hapa

Kila nikiwaza nakosa jibu 

Kila nikiwaza nashindwa elezea 

Kwa jinsi yale makubwa uliyonitendea 

Kwa maana yale mazuri unayoniwazia ni makuu mno 


Ebenezer ni Mungu (wewe ni Mungu) 

Ebenezer ni Mungu (Baba ni Mzuri) 

Ebenezer ni Mungu wangu 

Ebenezer ni Mungu (tena ni Mungu)

Ebenezer ni Mungu (tena ni Baba) 

Ebenezer ni Mungu (wangu ni mshindi)

Ebenezer ni Mungu wangu 

Ebenezer ni Mungu (tena ni Mungu) 


Kuwa jinsi nilivyo natumbua ni Mungu 

Wewe ni Mungu Baba 

Mimi jinsi nilivyo natumbua ni Mungu 

Wewe ni Mungu mwema aah 

Ebenezer ni Mungu 

Mungu wa maisha yangu 

Hivyo nilivyofika mimi ni Ebenezer 

Nimetoka mbali Mungu umenifikisha nilipo 

Mimi kuwa nilivyo, wacha niseme we ni Ebenezer 

Aaah dunia nzima itambue 

Viumbe vyote vikuinue 

Kwa maana wewe Mungu unastahili 

Kwa maana wewe Mungu unastahili kuabudiwa 


Ebenezer ni Mungu (wewe ni Mungu) 

Ebenezer ni Mungu (Baba ni Mzuri) 

Ebenezer ni Mungu wangu 

Ebenezer ni Mungu (tena ni Mungu)

Ebenezer ni Mungu (tena ni Baba) 

Ebenezer ni Mungu (wangu ni mshindi)

Ebenezer ni Mungu wangu 

Ebenezer ni Mungu (tena ni Mungu) 

Mungu ni mwema kwangu...



BEATRICE MWAIPAJA - EBENEZER (Official Music Video)

Now Playing...