Nayaweza Lyrics

By Beda Andrew

Lyrics

Baba amesema kwamba tumwite nae atasikia 

Tena amesema kwamba tukimwomba jambo atatutendea 

Ila tuwe na imani nayeye 

Tukiamini anaweza yote eeeeh 

Mwenye hofu ajigange moyo 

Akiamini Mungu yupo 

Huku tukifanya kazi 

Tukipambana tukipambana 

Tukimwamini wetu mwokozi Yesu wa maana ashushae baraka aaah aaah 

 

Nayaweza 

Nayaweza 

Nayaweza 

Nayaa 

Nayaweza 

Nayaweza 

Nayaweza 

Nayaaaa 

 

Palipo na nia pana njia tena hutimia so nenda polepole utafika,Yanini kukimbia eeenh 

Fanya magumu kama hujayaona japo yanachoma usijali wewe 

Wanaokucheka watapata homa 

Pale wakikuona unasonga mbele 

Daily mapambano pigana 

Ukisaka Day 

Wanaokucheka Leo achana nao 

Tazama kesho yakooooh 

 

Nayaweza 

Nayaweza 

Nayaweza 

Nayaweza 

Nayaaaa 

Nayaweza 

Nayaweza 

Nayaweza 


Now Playing...