Lyrics Page

Relax

By Christina Shusho

2,684 views Jun 6, 2026 updated

kurelax kurelax wee

Bwana atanibariki kwa kadiri ya utajiri wake 

Kwa kipimo cha kujaa kusukwa sukwa hata kumwagika 

Atanipa mahitaji yangu kwa kadiri ya utajiri wake 

Kwa kipimo cha kujaa kusukwa sukwa hata kumwagika 


Nani apinge? alichosema Mungu 

Nani alaani? alichobariki Mungu 

Hakuna awezaye kuzuia, alichotenda Mungu 

Na kama kuna pando, lopandwa na mwovu, Nangoa mi nangoa, 

liloandikwa kwa hila, nafuta mi nafuta 

Imeandikwa ntakuwa kichwa si mkia wa kwanza si wa mwisho 


Bwana atanibariki kwa kadiri ya utajiri wake 

Kwa kipimo cha kujaa kusukwa sukwa hata kumwagika 

Atanipa mahitaji yangu kwa kadiri ya utajiri wake 

Kwa kipimo cha kujaa kusukwa sukwa hata kumwagika 


Mi na relax narelax ooh 

Mwenyewe amesema, Mi na relax narelax ooh 

Atanipa utajiri wake, Mi na relax narelax ooh 

Atanalisha kama ndege anagani, na relax narelax ooh 

Atanipamba kama ua kondeni, Mi na relax narelax ooh 

Yesu akisema atafanya ooh, Mi na relax narelax ooh 

Neno lake ni amina na kweli, Mi na relax narelax ooh 


Bwana atanibariki kwa kadiri ya utajiri wake 

Kwa kipimo cha kujaa, kusukwa sukwa hata kumwagika 

Nangoja atimize, Mi na relax narelax ooh 

Eeeh ooh Mi na relax narelax ooh 

Atanipa mahitaji yangu, kwa kadiri ya utajiri wake 

Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.