Lyrics Page

Nasema Asante

By Christopher Mwahangila

2,872 views Sep 27, 2025 updated

Huu wimbo ni wimbo wa shukrani 

Usikie Mungu wangu 

Niseme nini kwako 

Nilipe nini kwako 

Sina cha kulipa mbele zako Mungu wangu 

Huu wimbo ni shukurani ni shukurani kwako 

Iyoo yoo yoo yo


Nasema asante 

Nasema asante 

Nasema asante 

Ewe Mungu wangu 

(rudia *2)


Hakuna Mungu kama wewe 

Hakuna Mungu kama wewe 

Hakuna Mungu kama wewe 

Ewe Mungu wangu 

(rudia *2) 


Kwa kazi ya msalaba goligota uliniokota 

Niseme nini mbele zako Bwana wangu nashukuru 

Umenipa heshima umefuta aibu 

Niseme nini mbele zako Baba nashukuru 

Umekuwa wa kwanza umekuwa wa mwisho 

Alfa Omega Baba niwewe 


Wewe ni Alfa na Omega 

Wewe ni Alfa na Omega 

Wewe ni Alfa na Omega 

Ewe Mungu wangu 

(rudia *2)


Wewe Mungu ni Wakwanza na wa mwisho 

Wewe Mungu ni Wakwanza na wa mwisho 

Wewe Mungu ni Wakwanza na wa mwisho 

Ewe Mungu wangu 


Umerejesha yaliyoliwa Bwana 

Na palale na madumadu

Umewaweka chini yangu Bwana 

Adui zangu wote  


Nasema asante 

Nasema asante 

Nasema asante 

Ewe Mungu wangu 


Hakuna Mungu kama wewe 

Hakuna Mungu kama wewe 

Hakuna Mungu kama wewe 

Ewe Mungu wangu 


Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.