Uso Wangu Lyrics

By Emmanuel Mgogo

Lyrics

Uso wangu utakwenda nawewe na wewe 

Na mimi nitakupa raha raha 

Uso wangu utakwenda nawewe na wewe 

Na mimi nitakupa raha raha ah 


Mwenyewe siwezi siwezi bila wewe 

Mwenyewe siwezi siwezi bila wewe 

Siwezi siwezi bila wewe siwezi 


Kuna mahali natamani 

Moyo wangu watamani nikae hapo 

Niwe hapo daima  


Mahali hapo kuna raha 

Furaha na utoshelevu 

salama amani vinatawala 


Tena nasikia sauti ikiniambia mwanangu 

Mahali hapo ni nyumbani ulipoumbwa ukae 


Mahali hapo ni pale penye uwepo wa Mungu 

Penye uso wa Mungu Baba 


Mwanadamu Bila Mungu huwezi lolote 

Hatuwezi lolote bila Mungu ni hasara 


Musa kamwambia Mungu usituchukue toka hapa 

Uso usipoenda nasi ee Mungu 

Maana ni nini kitakachotutofautisha 

Na watu wengine 

Ni nini kitakachotufanya tushinde Bwana 


Nena nasi Mungu, nena nasi Bwana 

Usitutenge na uso wako nena nasi 

Bwana twakuomba aah 


Uso wangu utakwenda nawewe na wewe 

Na mimi nitakupa raha raha 

Uso wangu utakwenda nawewe na wewe 

Na mimi nitakupa raha raha ah 


Mwenyewe siwezi siwezi bila wewe 

Mwenyewe siwezi siwezi bila wewe 

Siwezi siwezi bila wewe siwezi 


Siku moja bila Mungu bila uwepo wa Mungu 

Ni sawa na miaka elfu jangwani 

Siku moja bila Mungu bila uwepo wa Mungu 

Ni sawa na miaka mingi jangwani 


Hatua nyingi bila Mungu 

Maendelea bila Mungu 

Mwisho ni aibu ni bure eeh 

Usianze wala kuenda bila Mungu 

Hutafika mbali wewe mwite  

Maana huwezi mwenyewe 

Uso wa Mungu ukiwa nawe 

Utakufanikisha wewe utakushindia 

Utakuwa juu 


Whatever comes in your way 

You will overcome it 

because the presence of the Lord is with you hey

Amesema kila anipataye mimi 

Amepata uzima huyo 

Na kibali kwa Bwana oh 

Utapata zaidi ya hekima 

Na elimu za dunia 

Uso wa Mungu ukiwa nawewe utakuwa nuru 


Tafuta sana kuwa na Mungu 

Tunza sana uwepo wa Mungu 

Maana huo ni ufungu wa Maisha 


Ameahidi atakupatia ukimuomba lolote 

Omba sana uwepo wa Mungu maishani mwako 

USO WANGU. (Official Video)SKIZA CODE: 5965455. By Emmanuel Mgogo. CallMgogo +255769505537

Now Playing...