Lyrics Page

Mwanga

By Evelyn Wanjiru

2,544 views Jun 21, 2026 updated Verified editorial review

Evelyn Wanjiru's song 'Mwanga' is a Swahili worship song declaring God as light and guidance. The lyrics repeat that God is light for all times, a lamp for the feet, and a light that darkness cannot overcome. The song expresses trust in God's leading, asking Him to guide steps so that the singer does not stumble. It also includes a section calling for God's glory to shine. The song is based on Psalm 119:105, which describes God's word as a lamp and light.

Lyrics Verified by Editorial Team

Wewe ni Mwanga

Wa nyakati zote.

Wewe ni Mwanga wangu


Wewe ni Mwanga

Wa nyakati zote.

Wewe ni Mwanga wangu


Wewe ni Mwanga

Wa nyakati zote.

Wewe ni Mwanga wangu


Wewe ni Mwanga

Wa nyakati zote.

Wewe ni Mwanga wangu


Taa ya miguu yangu

Nuru ya njia yangu

(Wewe ni Mwanga wangu.)

Nuru yang'a gizani

Giza halitaliweza

(Wewe ni Mwanga wangu)


Wewe ni Mwanga

Wa nyakati zote.

Wewe ni Mwanga wangu


Taa ya miguu yangu

Nuru ya njia yangu

(Wewe ni Mwanga wangu.)

Nuru yangu gizani

Giza halitaliweza

(Wewe ni Mwanga wangu)


Wewe ni Mwanga

Wa nyakati zote.

Wewe ni Mwanga wangu


Wewe ni Mwanga

Wa nyakati zote.

Wewe ni Mwanga wangu


Wewe ni Mwanga

Wa nyakati zote.

Wewe ni Mwanga wangu


Na hatua zangu waziongoza

(Wewe ni Mwanga)

Nitembeapo sitajikwaa ah

(Wewe ni Mwanga wangu)


Na hatua zangu waziongoza

(Wewe ni Mwanga wangu)

Nitembeapo sitajikwaa ah

(Wewe ni Mwanga wangu)


Wewe ni Mwanga

Wa nyakati zote.

Wewe ni Mwanga wangu


Wewe ni Mwanga

Wa nyakati zote.

Wewe ni Mwanga wangu


Wewe ni Mwanga

Wa nyakati zote.

Wewe ni Mwanga wangu


Wewe ni Mwanga

Wa nyakati zote.

Wewe ni Mwanga wangu


Angaza

(Angaza shusha shusha utukufu wako eh Bwana)

Yeah angaza

(Angaza shusha shusha utukufu wako eh Bwana)

Sema angaza

(Angaza shusha shusha utukufu wako eh Bwana)

Eeeh angaza

(Angaza shusha shusha utukufu wako eh Bwana)

Eeeeh

(Angaza shusha shusha utukufu wako eh Bwana)

Angaza

(Angaza shusha shusha utukufu wako eh Bwana)


Wewe ni Nuru yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni taa yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni Nuru yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni taa yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni Nuru yangu

(Mwanga wangu)

Unaniangazia kila mara nikikutafuta

(Mwanga wangu)

Unapanua mipaka yangu kila mara

(Mwanga wangu)

Unafanya njia pasipo na njia Baba

(Mwanga wangu)

Mwanga wako uko juu yangu

(Mwanga wangu)

Eeeh wewe ni nuru yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni taa yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni nuru yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni taa yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni nuru yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni taa yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni nuru yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni taa yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni nuru yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni taa yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni nuru yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni taa yangu

(Mwanga wangu)

(Wewe)

Wewe ni nuru yangu

(Wewe) ni taa yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni nuru yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni taa yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni nuru yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni taa yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni nuru yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni taa yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni nuru yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni taa yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni nuru yangu

(Mwanga wangu)

Wewe ni taa yangu

(Mwanga wangu)

Music Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.