Manukato - Umeweka Wimbo Kinywani Mwangu

By Fanuel Sedekia

Lyrics

Umeweka wimbo kinywani mwangu 

Bwana niimbe sifa zako 

Umeniumba ili nikuabudu 

Nakuabudu nakuabudu 


Wewe uketiye juu ya vyote 

Sifa hizi zifike kitini pako 

Wimbo huu ukawe manukato 


Wewe uketiye juu ya vyote 

Sifa hizi zifike kitini pako 

Wimbo huu ukawe manukato 


Wewe ni Niko ambaye niko 

Milele hilo ita, na milele ijayo 

Sioni cha kunishibisha moyo wangu 

Badala ya kukuabudu mtakatifu 


Wewe uketiye juu ya vyote 

Sifa hizi zifike kitini pako 

Wimbo huu ukawe manukato 


Wewe uketiye juu ya vyote 

Sifa hizi zifike kitini pako 

Wimbo huu ukawe manukato 


Manukato (Manukato) 

Kama sadaka ya Abeli (Manukato) 

Kama zaburi ya Daudi (manukato) 


Manukato (Manukato) 

Kama sadaka ya Abeli (Manukato) 

Kama zaburi ya Daudi (manukato) 


Manukato manukato manukato (manukato) 

Haleluya Haleluya Haleluyaa (manukato) 

Nakupenda Bwana wimbo huu ukawe (Manukato) 

Fanuel Sedekia - Manukato (Official Video)