Oooh Tunakuabudu Bwana tukisema unatosha
Tunakuabudu Bwana tukisema unatosha
Tunakuinua Bwana tukisema unatosha
Tunakutuza Bwana tukisema unatosha
Hosanna Hosanna uliye juu
Mwanakondoo wa Mungu unatosha
Hosanna Hosanna uliye juu
Mwanakondoo wa Mungu unatosha
Hosanna Hosanna uliye juu
Mwanakondoo wa Mungu unatosha
Tunakutuza Bwana tukisema unaponya
Tunakuinua Yesu, Tunakutuza Bwana tukisema unaokoa
Tunakutukuza Yahweh, Tunakutuza Bwana tukisema unaweza
Hosanna Hosanna uliye juu
Mwanakondoo wa Mungu unatosha
Hosanna Hosanna uliye juu
Mwanakondoo wa Mungu unaokoa
Hosanna Hosanna uliye juu
Mwanakondoo wa Mungu unainua
Hosanna Hosanna uliye juu
Mwanakondoo wa Mungu unaweza
Tuna mavujo* na zaidi ya mawazo
Lyrics Page
Hossana Hosanna Uliye Juu
2,799 views
Jun 20, 2026 updated
Verified editorial review
Frank Njuguna's song 'Unatosha' is a Swahili worship song that exalts God as sufficient, healing, saving, and powerful. The lyrics repeat 'unatosha' (you are enough) and address God as 'Mwanakondoo wa Mungu' (Lamb of God), with cries of 'Hosanna.' The song declares God's worthiness and ability, inviting listeners to bow in adoration. It reflects a theme of complete trust in God's sufficiency and sovereignty.
Lyrics Verified by Editorial Team