Lyrics Page

Kama Si Wewe

By Goodluck Gozbert

2,614 views Jun 6, 2026 updated

Na wala sio sababu ya jina langu 

Wala sio sababu nina-vaa 

Najua sio sababu ya sadaka zangu 

Oh, maana ndio ninashangaa 

Nilijua kwamba nimeshapoteza nafasi 

Mimi ni nani kwani? Nakosa neno kusema 

Unisamehe, sikujua unanipenda hivi 

Umefanya bure, sawa upendavyo 

Umeruhusu niwe, vile upendavyo 


Refrain:

Nitakushukuru tu, kwa neema 

Asante tu, kwa wema 

Nitakushukuru tu, kwa neema 

Asante tu, kwa wema 

Maana kama si wewe 

Kama si wewe ningekuwa wapi? 

Wacha machozi yanitirike tu 

Wacha kilio nikulilie Mungu 


Natafuta cha kunitenga nawe, bado sijaona 

Nilishakatwakatwa moyo na kupondwa na wanadamu 

Wao wataniambia nini, nikiwa nawe? 

Leo wataniambia nini, nikiwa nawe? 

Pesa huitwa sabuni, ila maji ni wewe 

Unioshe Bwana, nitakase  


Nitakushukuru tu, kwa neema 

Asante tu, kwa wema 

Maana kama si wewe 

Kama si wewe ningekuwa wapi? 

Wacha machozi yanitirike tu 

Wacha kilio nikulilie Mungu 

Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.