Napokea kwako
Christina Shusho and Janet Otieno's 'Napokea Kwako' is a Swahili gospel song about receiving blessings from God after a season of struggle. The lyrics describe turning away from human help, which is temporary, and looking to God as the source of lasting provision. The singer declares that it is their time to be blessed and receives from God the Father and Jesus. The song references overcoming obstacles and God's ability to answer prayers, wipe tears, and remove mountains. It is a declaration of faith and thanksgiving for God's faithfulness.
Nikajaribu kutafuta msaada sikupata
Nikaendea mwanadamu mwisho akanidharau
Kumbe msaada wa mwanadamu unatoka kwa Mungu
Nilijua yapo wenye haki ya kubarikiwa
Kumbe Baraka ni haki ya kila mmoja
Nimebadili wazo langu namwelekea Mungu
Kwake msaada wangu unapatikana
Msaada wa mwanadamu ni wa muda mfupi
Na ni zamu yangu kubarikiwa we
Wakati ni huu wa kubarikiwa
Zamu ni yangu, sasa kupokea
Nimechoshwa na shida za dunia
Napokea kwako, Baba napokea kwako,
Napokea kwako, Baba napokea kwako,
Napokea kwako, Yesu napokea kwako
Napokea kwako, Baba napokea kwako,
Nimeamua kwenda Zaidi na Zaidi
Nimejipanga hadi nione matunda yake
Yale Mungu amewekeza ndani yangu
Najua Mungu yupo kazini kunikamilisha
Akisema nimebarikiwa nimebarikiwa tu
Hata ukipinga leo mimi nimebarikiwa tu
Mlima gani kuu sana usiloung?oa
Jaribu gani kuu sana usiloliweza
Chozi gani zito kwako usilolifuta
Ombi gani kubwa sana usilolijibu
Wakati ni huu wa kubarikiwa
Zamu ni yangu, sasa kupokea
Nimechoshwa na shida za dunia
Napokea kwako, Baba napokea kwako,
Napokea kwako, Baba napokea kwako,
Napokea kwako, Yesu napokea kwako
Napokea kwako, Baba napokea kwako
Wakati ni huu wa kubarikiwa
Zamu ni yangu, sasa kupokea
Nimechoshwa na shida za dunia
Napokea kwako, Baba napokea kwako,
Napokea kwako, Baba napokea kwako,
Napokea kwako, Yesu napokea kwako
Napokea kwako, Baba napokea kwako