Pokea Sifa

By Jimmy Gait

Lyrics

Pokea sifa ah Pokea sifa ah 

Pokea sifa ah Pokea sifa ah 

Pokea sifa ah Pokea sifa ah 


Chapati madondo, ugali na mboga 

Tulikula pamoja pamoja ... 


Nikiangalia kwenye mimi nimetokezea 

Mungu kweli umenibarikia 


Every time I think about you 

I just want to give you praise 

Every time I think about you 

I just want to give you praise 


Pokea sifa ah Pokea sifa ah 

Pokea sifa ah Pokea sifa ah 

Pokea sifa ah Pokea sifa ah 

,,, 

Mimi nimetambua kwamba 

Kwenye umetoka haijalishi 

Kwenye unaenda ndo inajalisha 

So keep your focus, your focus 

Oh Baba 

Kula neno kama dawa 

Piga maombi kama tizi  

Utaona mkono wa Bwana 

Milango atafungua zingine atafunga 

Usifikufe moyo yoo-yoo-iyo 

Ukiona umefika mwisho 

Mungu anaanzia don't you give up 

... Your better days are ahead of you...