Fungua Macho

By Mercy Masika

Lyrics

Wateule eeh tulioweka imani 

Kwa yule aliyetufia 

Wateule eeh tulioweka imani 

Kwa yule aliyetufia  

Sauti ya shaka, sauti yasema 

Hatutasimama hatututaendelea

Na sisi twasema 

Tutasimama tutaendelea 

Mungu yuko upande watu 


Mkristo simama: 

Fungua macho uone 

Jeshi la malaika limetuzingira 

Fungua macho uone 

Jeshi la malaika tutashinda vita 

Fungua macho uone 

Jeshi la malaika limetuzingira  


Wateule eeh tunamuishia 

Yule anyetupenda 

Wateule eeh tunamuishia 

Yule anyetupenda 

Mawazo ya shaka 

Mawazo yasema hatutayashinda hatutaendelea 

Na sisi twasema 

Tutashinda Mungu yuko upande wetu 

Tutasimama 


Fungua macho uone 

Jeshi la malaika limetuzingira 

Fungua macho uone 

Jeshi la malaika tutashinda vita 

Fungua macho uone 

Jeshi la malaika limetuzingira  


Uoooh tufungue macho 

Tufungue macho Yesu 

Tuone... 

Fungua macho uone 

Jeshi la malaika limetuzingira 

Fungua macho uone 

Jeshi la malaika tutashinda vita 

Fungua macho uone 

Jeshi la malaika limetuzingira