Namba moja

By Paul Clement

Lyrics

Jina lipitalo majina yote

Duniani na mbinguni

Tena lenye mamlaka yote

Humu ulimwenguni

Limeinuliwa juu (Jina La Yesu x2) x2


Jina lako Yesu x2

Lina uweza, aaa x2


Kila goti litapigwa

(Kwa jina la Yesu)

Na kila ulimi utakiri

(Kwamba wewe ni Bwana)

Yesu, Yesu, Yesu


Ninakwita usiyeshindwa

Kifo na kaburi ulivishinda

Nguvu zako ziko juu ya dunia yote

Umekirimiwa jina lenye uweza wote

Nguvu ni zako, ufalme ni wako

mamlaka ni yako, hata milele

Katika wewe tunapata ushindi, ushindi


Limeinuliwa juu (Jina la Yesu x2)

Juu ya mamlaka yoote

Juu ya nguvu zote


Paul clement - Namba moja (Official Video)