Siogopi

By Paul Clement

Lyrics

Siogopi kuchelewa 

Maana Mungu wangu hachelewi wala hawai 

Siogopi mateso yako 

Sababu yeye ananipeleka kwenye ukuu wangu 

Siogopi kudharauliwa 

Maana ndiko kunanipa heshima yangu 

Siogopi adui zangu 

Maana najua ni adui wa Mungu wangu 

Siogopi hivi vita vyako 

Maana ndivyo vinanipa ushindi wangu  


Siogopi siogopi 

Siogopi siogopi 

Siogopi siogopi 

Siogopi siogopi 


Am not afraid 

Am not afraid 

Am not afraid 

Am not afraid 


Nimepewa mamlaka siogopi nge na nyoka 

Tawakanyaga vichwa vyao hazitanidhuru sumu zao 

Yaani maneno yao 

Siogopi kutembea kwenye giza 

Maana mimi ni nuru ninaangaza 

Siogopi kusimama juu ya mlima 

Maana najua siwezi sitirika  


Siogopi moto moto sababu 

Lazima nipite mimi dhahabu 

Ili nisimame niwe imara ndiwe kinara 

Siogopi moto moto sababu 

Lazima nipite mimi dhahabu 

Niwe hodari niwe jasiri ndiwe kamili


Siogopi siogopi 

Siogopi siogopi 

Siogopi siogopi 

Siogopi siogopi 


Am not afraid 

Am not afraid 

Am not afraid 

Am not afraid