Uinuliwe Baba

By Sifaeli Mwabuka

Lyrics

Uinuliwe uinuliwe 

Uinuliwe Bwana wa mabwana 

Uinuliwe uinuliwe 

Uinuliwe Bwana wa mabwana 


Uweza wako wa ajabu umeshangaza wengi 

Uinuliwe Bwana wa mabwana 

Umeumba dunia pasipo nguzo yeyote 

Uinuliwe Bwana wa mabwana 

Ukamtoa mwanao afe kwa ajili yetu 

Uinuliwe Bwana wa mabwana 


Uinuliwe uinuliwe 

Uinuliwe Bwana wa mabwana 

Uinuliwe uinuliwe 

Uinuliwe Bwana wa mabwana 

(Hakuna kama wewe)

Uinuliwe uinuliwe 

Uinuliwe Bwana wa mabwana 


Mimi ni nani nimefika hapa nilipo 

Uinuliwe Bwana wa mabwana 

Umenitunza tangu utotoni tumboni toka kwa mama 

Uinuliwe Bwana wa mabwana 

Sitaweza nisingiweza nisingeweza 

Sitaweza nisingiweza nisingeweza 


Ukamuumba mwanadamu kwa mfano wako Jehovah 

Uinuliwe Bwana wa mabwana 

Umetupa vitu vyote tuvitawale duniani 

Uinuliwe Bwana wa mabwana 

Umetujalia uzima hapa tulipo kwa neema yako 

Uinuliwe Bwana wa mabwana 


Uinuliwe uinuliwe 

Uinuliwe Bwana wa mabwana 

Uinuliwe uinuliwe 

Uinuliwe Bwana wa mabwana 


Singelikuwa neema yako ningejificha wapi  

Niwakimbie walimwengu oh uinuliwe 

Yusufu aliuzwa na ndugu zake wakijua wanampoteza 

Kumbe wanamuinua oh uinuliwe 

Ndugu Zakayo aliwaza vile Mungu kawaza vingine 

Mungu wa huruma 

Waliweza kumpoteza ukaweza kumuinua 

Mungu wa ajabu matendo yako Bwana yanashangaza wengi 

Uinuliwe Baba oh Jehova


Uinuliwe uinuliwe 

Uinuliwe Bwana wa mabwana 

Uinuliwe uinuliwe 

Uinuliwe Bwana wa mabwana 

UINULIWE BABA (OFFICIAL VIDEO) BY SIFAELI MWABUKA