Wakati Wangu ni Lini

By Sifaeli Mwabuka

Lyrics

Nijiuliza sana 

Nijiuliza sana kila siku  

wakati wangu ni lini 

wakati wangu ni lini?


Wakati wa kukutana na wewe

Wakati wa kuona mkono wako 

Wakati wa kuona baraka zako  

Wakati wa kuinuliwa na wewe 

Wakati wangu ni lini?

Wakati wangu ni lini?


Niambie ni lini Baba 

Niambie ni lini Mungu wangu 

Niambie ni lini Baba 

Niambie ni lini Mungu wangu 


Wengi wamesema subira huvuta heri 

Wengi nimesia mvumilivu hula mbivu 

Wengi wamesema subira huvuta heri 

Wengi nimesia mvumilivu hula mbivu 


Hezekia alikwita Mungu wangu 

Nawe ulimsikia Baba 

Ulipotuma mtumishi wako Eliya 

Atengeneze mambo ya nyumbani mwake 

Ndipo Ezekia akageuka akukuita Mungu wangu 

Nawe ukamsikia Baba 

Wakati wangu ni lini Baba? 

Wakati wangu ni lini Baba niambie 


Niambie ni lini Baba 

Niambie ni lini Mungu wangu 

Niambie ni lini Baba 

Niambie ni lini Mungu wangu 


Niambie ni lini Baba 

Niambie ni lini Mungu wangu 

Niambie ni lini Baba 

Niambie ni lini Mungu wangu 


WAKATI WANGU NI LINI. BY SIFAELI MWABUKA SKIZA CODE 7750853