Umeniweza

By Solomon Mukubwa

Lyrics

Umeniweza Umeniweza 

Umeniweza nimetulia 


Nilikuwa mbishi sana (umeniweza) 

Nilikuwa sisikii ooh (umeniweza) 

Umeniweza Bwana (umeniweza) 

Nimewezewa na wewe (umeniweza) 

(Nimetulia)


Mimi huyu hapa nilikuwa kam-very complicated sana 

Nilipokutana na wewe 

Nilikuwa kamubishi sana 

Nilikuwa napinga maneno yako Mungu 

Nilipokutana na wewe


Masikio yangu yalikuwa magumu nilikuwanga sisikiangi 

Yesu nilipokutana nawe (umeniweza nimetulia) 

Pombe nilikunywa sana bangi nilivuta sana 

Nilipokutana na wewe (umeniweza nimetulia) 


Umeniweza umeniweza Bwana 

Leo nimenyenyenyekea (umeniweza nimetulia) 

Leo nimetulia kwako 

Umenipa furaha ya wokovu Yesu 

Nilipotulia kwako Bwana 

Umenitengeneza mapito yangu 


Wengine wetu wamekunywa pombe mpaka wakalala mitaroni 

Walipokutana na wewe (umewaweza wametulia) 

Wengine walipata mshahara wakakimbilia geste na kahaba 

Walipokutana na wewe (umewaweza wametulia) 

Wengine walikuwa ni waasi wa neno lako 

Walipokutana na wewe (umewaweza wametulia) 

Wengine walikuwa na michanuko walipokutana na Yesu 

michupuko imeanguka chini 

Walipokutana na wewe (umewaweza wametulia) 

Wengine walikuwa na mipango ya kando 

Walipokutana na Yesu mipango ya kando imeanguka 

(umewaweza wametulia)  


Mwanaume Yesu wee Yesu umetuweza 

(umeniweza nimetulia) 

Nimesaluti kwako (umeniweza) 

Yesu umetuweza (umeniweza) 

(umeniweza nimetulia) 


Waliokuwa wahuni wamekugeukia (umeniweza) 

Umewaweza Yesu wamerudi kwa maisha 

(umeniweza nimetulia)


Umeniweza eeeh, umeniweza Baba (umeniweza) 

Umeniweza nashindwa kuongea (umeniweza nimetulia) 


Ameniweza ameniweza (umeniweza) 

...