Unajubu maombi Unajibu maombi
Unajibu maombi Nakuamini Bwana
Ezekia alipougua alikulilia ukamsikia
Ukamponya na kumwongezea mwaka, Maana unajibu maombi,
Nami leo nakuita Baba usinifiche uso wako
Na wale waliokata tamaa, maana wewe u mwaminifu
Unajubu maombi Unajibu maombi
Unajibu maombi Nakuamini Bwana
Umesema ikiwa watu wako Tulioitwa kwa jina lako Tutajinyenyekesha na kuomba na kuutafuta uso wako
Na kuziacha njia zetu mbaya, utasikia toka mbinguni
Na kutusamehe maovu yetu na kuiponya nchi yetu
Unajubu maombi Unajibu maombi
Unajibu maombi Nakuamini Bwana
Nakuabudu Mungu mwaminifu, wewe ni Mungu usiyeshindwa.
Mungu unashika maagano nakuabudu Bwana
Sikio lako sio nzito, wewe ni Mungu uliyekaribu
Toka mbinguni sikia na kujibu, Nakuabudu Bwana
Unajubu maombi Unajibu maombi
Unajibu maombi Nakuamini Bwana
Unajubu maombi Unajibu maombi
Unajibu maombi Nakuamini Bwana
God Answers Prayers
Unajibu Maombi
Upendo Kilahiro's song 'Unajibu Maombi' is a Swahili worship song that declares God's faithfulness in answering prayers. The lyrics reference the biblical account of King Hezekiah, who prayed and was healed, and also allude to 2 Chronicles 7:14, where God promises to hear and heal His people when they humble themselves and pray. The song emphasizes trust in God's nearness and His covenant-keeping nature, encouraging believers to call on Him with confidence. It is a simple, repetitive declaration of faith in a God who listens and responds.