Niacheni Niimbe - Niacheni Nicheze Lyrics

By Upendo Nkone

Lyrics

Niacheni niimbe niacheni nicheze 

Yesu mwana wa Mungu amejibu maombi yangu 


Amenipa uzima, amenipa watoto 

Yesu mwana wa Mungu, amejibu maombi yangu 


Niacheni niimbe niacheni nicheze 

Yesu mwana wa Mungu amejibu maombi yangu 


Yeye amenitoa chini chini 

Ameniweka juu juu 

Yesu mwana wa Mungu amejibu maombi yangu 


Niacheni niimbe niacheni nicheze 

Yesu mwana wa Mungu amejibu maombi yangu 


Kanitoa kwenye shida, 

akabariki biashara zangu 

Yesu muweza yote amejibu maombi yangu 


Niacheni niimbe niacheni nicheze 

Yesu mwana wa Mungu amejibu maombi yangu 


Natembea kwa ujasiri, sababu ninaye Yesu 

Simba wa kabila la Yuda, anashugulika nami 


Niacheni niimbe niacheni nicheze 

Yesu mwana wa Mungu amejibu maombi yangu  


Daktari alikupima, akasema huwezi kuzaa 

Leo mwana wa Mungu amekupa watoto, imba 


Niacheni niimbe niacheni nicheze 

Yesu mwana wa Mungu amejibu maombi yangu  


Wamesema hutaolewa, wewe una mikosi 

Yesu unayemtegemea amejibu maombi yako 


Ulikuwa hauna kazi na wengine walikucheka 

Leo Yesu mwana wa Mungu, ameondoa aibu 


Niacheni niimbe niacheni nicheze 

Yesu mwana wa Mungu amejibu maombi yangu 


Nimepandishwa cheo mimi (Yesu amejibu maombi yangu) 

Amenibariki Yesu (Yesu amejibu maombi yangu) 

Nimeinuliwa kazini (Yesu amejibu maombi yangu) 

Amenipa furaha (Yesu amejibu maombi yangu) 

Amenipa ushindi (Yesu amejibu maombi yangu) 

Amenipa amani (Yesu amejibu maombi yangu) 

Mi ninayo furaha (Yesu amejibu maombi yangu) 

Amenipa uzima tele (Yesu amejibu maombi yangu) 

Ni Yesu ni Yesu (Yesu amejibu maombi yangu) 

Ni Bwana wa Mabwana (Yesu amejibu maombi yangu) 

Simba wa Yuda (Yesu amejibu maombi yangu) 


Ameponya wagonjwa (Yesu amejibu maombi yangu) 

Ameondoa mateso yangu (Yesu amejibu maombi yangu) 

Vipofu wameona (Yesu amejibu maombi yangu) 

Na viwete wamtembea Baba (Yesu amejibu maombi yangu) 

Na mapepo yamekimbia (Yesu amejibu maombi yangu) 

Watu wamepona kwa jina la Yesu (Yesu amejibu maombi yangu) 

Amenipa kazi nzuri (Yesu amejibu maombi yangu) 

Amenipa mke mwema (Yesu amejibu maombi yangu) 

Watoto wamefaulu masomo (Yesu amejibu maombi yangu) 

Na shambani nimevuna mazao mengi (Yesu amejibu maombi yangu) 


Upendo Nkone - Niacheni Niimbe

Now Playing...